Home Soka Aiyee Atua Kmc

Aiyee Atua Kmc

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa Mwadui Fc Salim Aiyee ametua katika klabu ya Kmc kwa mkataba wa miaka miwili akitokea timu hiyo ya mjini shinyanga.

Mshambualiaji huyo aliyeisaidia Mwadui kubaki ligi kuu Tanzania katika michezo miwili ya mtoano dhidi Geita gold mine  amesaini kandarasi hiyo ya kujiunga na timu hiyo inayomilikiwa na Halmashauri ya manispaa ya Kinondoni.

Aiyee katika msimu wa ligi kuu msimu ulioisha alifunga jumla ya magoli 18 yaliyomfanya kuwa katika orodha ya wafungaji bora akizidiwa na Meddie Kagere aliyefunga mabao 23.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited