Home Soka Ajibu atua Chamazi

Ajibu atua Chamazi

by Sports Leo
0 comments

Kiungo mshambuliaji wa Simba sc IbrahimAjibu Migomba amejiunga na matajiri wa Jiji la Dar es salaam Azam Fc kwa mkataba wa mwaka mmoja kuwatumikia waoka mikate hao wa Chamazi.

Taarifa kupitia ukurasa rasmi wa klabu ya Simba wa Instagram iliandika ”Kwa maslahi ya pande zote mbili, uongozi wa klabu umefikia makubaliano na mchezaji Ibrahim Ajibu kusitisha mkataba wake kuanzia leo Alhamisi Desemba 30, 2021.

Kipekee tunamshukuru Ajibu kwa namna alivyojitoa kupambana kwa ajili ya Simba, na tunamtakia kila la kheri katika maisha yake. ”#NguvuMoja

banner

Ajibu amcecheza kwa mafanikio makubwa kwenye klabu ya Simba akitwaa mataji mawili ya ligi kuu soka Tanzania Bara,mawili ya kombe la shirikisho la Azam,ngao mbili za jamii na kombe la simba.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited