Home Soka Alcantara Atua Liverpool

Alcantara Atua Liverpool

by Sports Leo
0 comments

Kiungo wa klabu ya Bayern Munchen Thiago Alcantara amekamilisha usajili wake kutua katika klabu ya Liverpool ya ligi kuu nchini Uingereza.

Uhamisho huo umeigharimu Liverpool kiasi cha Paundi Milioni 27 huku kukiwa na nyongeza mbalimbali endapo mchezaji huyo atakua na mchango mkubwa klabuni hapo.

Awali kiungo huyo alihusishwa na timu za Manchester United na Paris st.German lakini Jurgen Klopp amefanya kazi ya ziada kuhakikisha kiungo huyo anatua klabuni hapo licha ya kukabiliwa na ushindani mkali.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited