Home Soka Arsenal yasajili kifaa cha Benfica

Arsenal yasajili kifaa cha Benfica

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Arsenal imekamilisha usajili wa beki wa kushoto kutoka Benfica ya Ureno Nuno Tavares kwa ada ya paundi milioni 8 za Kiingereza.

Arsenal ilimuona Tavares walipokutana na Benfica katika michuano ya Europa ligi msimu uliopita na anaenda kuongeza ushindani kwa Kieran Tierney katika beki ya kushoto.

Huu unakuwa usajili wa pili kwa Arsenal ndani ya siku mbili mara baada ya kumpa mkatana kipa kinda Okonkwo, Arsenal pia wako mbioni kukamilisha usajili wa kiungo wa Anderlecht Albert Lokonga.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited