Home Soka Aussem Kurejea Kesho

Aussem Kurejea Kesho

by Sports Leo
0 comments

Kocha mkuu wa klabu ya Simba sc Patrick Aussems anatarajiwa kurejea nchini kesho akitokea nchini Ubelgiji ambapo alichukua ruhusa maalumu ya siku mbili.

Kocha huyo aliondoka nchini juzi baada ya kuomba ruhusa kwa ajili ya kushughulikia matatatizo binafsi ya kifamilia na anatarajiwa kurejea kesho kwa ajili ya kuwahi maandalizi ya mchezo dhidi ya Ruvu Shooting jumamosi ijayo.

“Niliondoka kwa siku mbili kwa mambo ya kifamilia,nitarejea Tanzania kesho kwa ajili ya kuiandaa timu kwa mchezo dhidi ya Ruvu shooting kupata pointi tatu zaidi”.Alisema kocha huyo

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited