Licha ya kubadilisha daktari bado ugonjwa ule ule kwa klabu ya Azam fc baada ya kulazimishwa suluhu na Gwambina katika uwanja wa Gwambina Complex mjini Misungwi.
Azam fc ambayo ilimtimua kocha wake mkuu Arstica Cioaba na kumleta mzambia George Lwandamina imeonakana bado timu hiyo haina muunganiko baada ya jana kukoswa kufungwa mara kadhaa baada ya kuzidiwa eneo la kati kati ya kiwanja na Gwambina.
sasa rasmi timu hiyo imeachwa alama saba na vinara Yanga sc huku ikiwa imewaacha Simba sc alama nne tu huku ikiwa imewazidi michezo mitatu.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.