Home Soka Azam Fc Bado Gonjwa Lawatesa

Azam Fc Bado Gonjwa Lawatesa

by Sports Leo
0 comments

Licha ya kubadilisha daktari bado ugonjwa ule ule kwa klabu ya Azam fc baada ya kulazimishwa suluhu na Gwambina katika uwanja wa Gwambina Complex mjini Misungwi.

Azam fc ambayo ilimtimua kocha wake mkuu Arstica Cioaba na kumleta mzambia George Lwandamina imeonakana bado timu hiyo haina muunganiko baada ya jana kukoswa kufungwa mara kadhaa baada ya kuzidiwa eneo la kati kati ya kiwanja na Gwambina.

sasa rasmi timu hiyo imeachwa alama saba na vinara Yanga sc huku ikiwa imewaacha Simba sc alama nne tu huku ikiwa imewazidi michezo mitatu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited