Home Soka Azam Haoo Nusu Fainali

Azam Haoo Nusu Fainali

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu ya Azam Fc imefanikiwa kufuzu hatua ya nusu fainali ya michuano ya kombe la shirikisho la Azam baada ya kuifunga klabu ya Rhino Rangers ya Tabora kwa mabao 3-1.

Seleman Abdalah alipachika bao kwa Rhino Rangers dakika ya 31 lakini bao hilo lilidumu kwa dakika mbili tu ambapo  Ayoub Lyanga alisawazisha,huku mabao mengine ya Azam FC yalifungwa na  Agreý Morris 65′ na Obrey Chirwa 80′.

Sasa Azam Fc inasubiri mshindi kati ya Simba sc na Dodoma Jiji Fc ili kujua itakayekutana nae nusu fainali.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited