Home Soka Balama Kuwakosa Alliance

Balama Kuwakosa Alliance

by Dennis Msotwa
0 comments

Kiungo fundi wa klabu ya Yanga sc Balama Mapinduzi ataukosa mchezo wa ligi kuu dhidi ya Alliance baada ya kushindwa kupona jeraha la nyonga alilolipata wakati wa mchezo uliopita dhidi ya Jkt Tanzania.

Balama alikosa mazoezi ya mwisho yaliyofanyika leo asubuhi uwanja wa uhuru na ndipo ilipobainika pia ataukosa mchezo huo ili kuangalia ukubwa wa jeraha hilo.

Yanga itasafiri kesho alfajiri kwa ndege kuelekea mkoani Mwanza kucheza mchezo huo siku ya ijumaa dhddi ya Alliance na wakifanikiwa kupata ushindi watakua wamefanikiwa kupunguza pengo la pointi baada ya kuwa na mechi nyingi za viporo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited