Home Soka Bocco Atwaa Tuzo ya Juni

Bocco Atwaa Tuzo ya Juni

by Sports Leo
0 comments

Nahodha wa klabu ya Simba sc John Boko Ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi juni akiwashinda Atupele Green wa biashara united na Martin Kiggi wa Aliance School ambao aliingia nao fainali.

Boko ametwaa tuzo hiyo akiwa amefunga mabao saba katika ligi kuu huku akiwa katika kiwango bora toka ligi irejee kutoka katika mapumziko ya janga la Corona huku akiwa ametoka kuisaidia Simba sc kushinda taji la ligi kuu bara kwa mara tatu mfululizo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited