Home Soka Bye Bye Mexime

Bye Bye Mexime

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Kagera Sugar imempa mkono wa kwaheri kocha mkuu wa klabu hiyo Mecky Mexime baada ya jana kufungwa bao 1-0 na Namungo Fc katika mchezo wa ligi kuu nchini.

Mexime amekua na mfululizo wa matokeo yasiyoridhisha hali iliyowalazimu mabosi wa klabu hiyo kuamua kukaa meza moja na beki huyo wa zamani wa Mtibwa Sugar na timu ya taifa ya Tanzania.

“Ni kweli kama ulivyosikia, tangu jana Ijumaa jioni niliongea na viongozi na leo tumeachana, kikubwa ni matokeo ila kama kina timu ije tufanye kazi” amesema Maxime.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited