Home Soka CAF waruhusu mashabiki michuano Afrika

CAF waruhusu mashabiki michuano Afrika

by Sports Leo
0 comments

Shirikisho la mpira wa miguu Afrika(CAF) limetoa taarifa ya kuruhusu mashabiki wachache kuhudhuria michezo ya klabu bingwa pamoja na ile ya kombe la shirikisho barani Afrik katika hatua hii ya pili ya mtoano kufuzu makundi.

Taarifa hiyo imetolewa na shirkisho la mpira wa miguu nchini(TFF)

banner

Kwa hatua hiyo ni fursa kwa vilabu vya Tanzania kupata nguvu ya mashabiki wake katika kuongeza hali ya upambanaji na kupata matokeo mazuri katika mechi za nyumbani.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited