Home Soka Caf Yazuia Pointi 3 Simba Sc

Caf Yazuia Pointi 3 Simba Sc

by Sports Leo
0 comments

Shirikisho la Soka Afrika CAF limeruhusu Wachezaji wa Al Merrikh SC, Ramadan Agab na Bakhit Khamis kucheza mechi dhidi ya Simba baada ya awali kuwa na sintofahamu kuhusu uhalali wa wachezaji hao.

Kwa mujibu wa CAF wachezaji hao walifungiwa kucheza mashindano ya ndani lakini hawakatazwi kushiriki Mashindano ya CAF hivyo wako huru.

Awali shirikisho la soka nchini Sudan liliwafungia wachezaji hao kutokana na kusajiliwa na timu mbili za ndani hivyo suala hilo liliwafanya Simba sc kutuma malalamiko Caf kudai alama za mezani kutokana na wachezaji hao kuchezeshwa kinyume na taratibu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited