Home Soka Cavani Afungiwa

Cavani Afungiwa

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa Manchester United Edinson Cavani amefungiwa kutocheza michezo 3 pamoja na faini ya kiasi cha £100,000 kwa neno lake la kibaguzi alilolitoa katika mtandao wa Instagram dhidi ya shabiki yake.

Mshambuliaji huyo wa zamani wa Psg amefungiwa kwa kosa la kupost mtandaoni kwa kutumia neno linaloashiria ubaguzi. Neno hilo ni ”Negrito”Cavani atakosa mchezo dhidi ya Aston Villa (PL), Man City (EFL Cup) na Watford (FA Cup).

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited