Home Soka Chelsea Wang’ang’ania Top

Chelsea Wang’ang’ania Top

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu ya Chelsea chini ya mkufunzi Frank Lampard imeendelea kung’ang’ani nafasi  nne za juu katika msimamo wa ligi kuu nchini Uingereza baada ya kufanikiwa kuifunga Crystal Palace mabao 3-2.

Mabo ya Chelsea yalipatikana kupitia kwa Oliver Giroud dakika ya 6,Christian Pulisic dakika ya 47 na Tabby Abraham dakika ya 71 huku yale ya Palace yakifungwa na Wilfred Zaha dakika ya 34 na Christian Benteke dakika ya 72.

Chelsea wamepanda mpaka nafasi ya tatu wakiwa na alama 60 huku Leicester City wakiwa nafasi ya nne kwa alama 59 na nafasi ya tano inashikiriwa na Man united wenye alama 55 wakiwa na mchezo mmoja mkononi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited