Home Soka Dybala Kutolewa Chambo Kisa Neymar

Dybala Kutolewa Chambo Kisa Neymar

by Sports Leo
0 comments

Timu ya Juventus imetuma ofa ya mshambuliaji Paulo Dybala na kiasi cha fedha kwenda Psg ili kumnasa mshambuliaji Neymar ambaye ameonesha nia ya kuondoka jijini Paris huku Barcelona na Real Madrid zikitajwa ndio chaguo la staa huyo.

Juve wanataka kumtoa Dybala ambaye kocha Mauricio Sarri amethibitisha kuwa hayupo katika mipango yake bali timu nzima itaundwa kumzunguka Cristiano Ronaldo.

Awali juve ilitaka kumuuza staa huyo kwenda Manchester United kwa fedha kamili ama kwa mabadilishano na Romelu Lukaku lakini dili hilo lilishindikana baada ya wakala wa staa huyo kudai mshahara mkubwa na dau la wakala kuwa kubwa hivyo united wakabadili uamuzi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited