Home Soka Gomez Aahidi Ushindi Simba sc

Gomez Aahidi Ushindi Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Kesho utakua ni mtihani wa kwanza wa kocha Didier Gomez katika mchezo wake wa kwanza wa ligi kuu dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa kiporo utakaofanyika katika uwanja wa Jamhuri jijini Humo.

Gomes aliyesajiliwa na Simba sc akitokea El-Merreikh ya Sudan atakua na kibarua kigumu cha kuchukua alama tatu muhimu dhidi ya timu hiyo iliyopanda daraja la ligi kuu msimu huu.

“Utakuwa mchezo mgumu lakini tupo tayari kupambana ni muhimu sana,tuna michezo mitatu mkononi na tunatakiwa kushinda michezo yote ili kupunguza alama na timu iliyopo kileleni na mchezo wa kwanza ni kesho.”Alisema Gomez

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited