Home Soka Guardiola Hajiamini Man city

Guardiola Hajiamini Man city

by Dennis Msotwa
0 comments

Pep Guardiola amedai kwamba Manchester City huenda ikamfuta kazi iwapo watashindwa kuilaza Real Madrid katika kombe la mabingwa Ulaya katika mchezo utakaochezwa february 26 mwaka huu.

Hata hivyo kufutwa kazi kwa Guradiola sio kitu rahisi kutokana na rekodi yake bora aliyoiweka baada ya kushinda mataji matano muhimu licha ya kushindwa kuiepeleka mbele ya robo fainali ya kombe la klabu bingwa katika misimu mitatu.

Guardiola alijiunga na Man city akitokea Bayern Munchen na licha ya kuwa na mafanikio katika timu mbalimbali alizofundisha hali imeonekana kuwa ngumu klabuni hapo baada ya kuwa na msimu mgumu huku akielekea kupoteza ubingwa wa ligi kwa Liverpool.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited