Home Soka Guardiola Kocha Bora Epl

Guardiola Kocha Bora Epl

by Dennis Msotwa
0 comments

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola ametwaa tuzo ya kocha bora wa mwaka 2020/21 wa ligi kuu ya Uingereza kwa kupata kura nyingi kutoka kwa makocha wenzake baada ya kutwaa tuzo hiyo ( The League Managers’ Association manager of the year. – LMA )

Makocha wengine watano ambao walikuwa kwenye kinyang’anyiro hiko ni pamoja na Marcelo Bielsa (Leeds), Daniel Farke (Norwich), Emma Hayes (Chelsea Women), David Moyes (West Ham) na Brendan Rodgers (Leicester).

Kocha huyo ametwaa tuzo hiyo baada ya kuiwezesha klabu ya Manchester City kutwaa taji la tatu la ligi kuu nchini Uingereza ndani ya miaka yake mitano ya kuifundisha klabu hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited