Home Soka Hakijaeleweka Bado

Hakijaeleweka Bado

by Sports Leo
0 comments

Nahodha wa klabu ya Yanga sc Papy Tshitshimbi mpaka sasa bado hajasaini mkataba mpya na klabu hiyo licha ya kupewa mkataba huo toka miezi miwili iliyopita.

Inadaiwa nahodha huyo anataka kiasi cha milioni 80 ili asaini mkataba huo wa miaka miwili huku Yanga kupitia mdhamini wao Gsm wakiwa tayari kutoa milioni 60 huku pande zote mbili zikiwa zimegoma kushusha masharti hayo.

Hata hivyo klabu hiyo imeshaanza kutafuta mbadala wa kiungo huyo ambapo ipo katika harakati za kumsajili kiungo Ally Niyonzima kutoka nchini Rwanda.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited