Home Soka Kilimanjaro Stars Yalala Kwa Kenya

Kilimanjaro Stars Yalala Kwa Kenya

by Sports Leo
0 comments

Timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) imekubali kipigo cha bao moja kutoka kwa Harambee Stars katika mchezo wa michuano ya chalenji uliofanyika katika uwanja wa KCCA nchini Uganda.

Kenya walifanikiwa kupata bao pekee la mchezo huo dakika ya nne ya mchezo likifungwa na Hassan Abdalah baada ya mabeki wa Stars kuzembea.

Bao hilo lilidumu mpaka mwisho wa mchezo licha ya Stars kujitahidi kutafuta goli la kusawazisha lakini uimara wa mabeki wa kenya ulikua mwiba kwa washambuliaji wa Stars wakiongozwa na Paul Nonga.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited