Mshambuliaji mtanzania Mbwana Samatta ameisaidia klabu ya Aston Villa kuibuka na ushindi wa mbao 2-0 dhidi ya Crystal Palace mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza.
Mahmoud Hassan Trezeguet alikua kinara katika mchezo huo baada ya kupachika mabao mawili yaliyoipa ushindi Aston Villa dakika ya 45+4 na bao la pili alifunga dakika ya 59 na kujipooza machungu ya kufungwa tatu nunge na Manchester United wiki hii.
Aston Villa bado wana hatari ya kushuka daraja licha ya kufanikiwa kushika nafasi ya 18 katika msimamo wa ligi kuu huku wakitarajiwa kupambana na Everton katika mchezo ujao.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.