Home Soka Kitambi Kupigwa Msasa

Kitambi Kupigwa Msasa

by Sports Leo
0 comments

Kocha msaidizi wa klabu ya Simba Dennis Kitambi amepata nafasi ya kushiriki mafunzo ya ukocha ya Uefa ambayo yatatolewa nchini na wataalamu kutoka Denmark kuanzia disemba 2-10 mwaka huu.

Kitambi ambaye kwa sasa ndiye msimamizi wa masuala yote ya kiufundi ndani ya klabu hiyo baada ya kocha mkuu kusimamishwa atahudhuria mafuzno hayo ili kuongeza uwezo zaidi wa kazi.

Mpaka sasa haijajulikana kocha ambaye atakaimu nafasi ya kitambi klabuni hapo huku meneja wa klabu hiyo Patrick Rweyemamu akithibitisha kocha huyo kuomba ruhusa ya kuhudhuria mafunzo hayo huku akisema suala la nani atarithi majukumu linashughulikiwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited