Kiungo wa Red Bull Salzburg Dominik Szoboszlai yu karibu sana kujiunga na RB Leipzig ya Ujerumani.
Leipzing inataka kulipa €25m kama release clause iliyopo kwenye mkataba wa kiungo huyo na klabu yake, ambapo (Leipzig) wanataka kulipa mkwanja huo mapeeeemaaa kabla ya Christmas.
Leipzig inatarajia kuzipiku AC Milan na Arsenal katika kinyang’anyiro hicho cha kuwania saini ya kiungo huyo.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Pia, taarifa zinadai kuwa, kiungo huyo atafanya maamuzi baada ya wikiendi hii kuisha.