Home Soka Kiungo Kutimka Redbull Salzburg

Kiungo Kutimka Redbull Salzburg

by Sports Leo
0 comments

Kiungo wa Red Bull Salzburg Dominik Szoboszlai yu karibu sana kujiunga na RB Leipzig ya Ujerumani.

Leipzing inataka kulipa €25m kama release clause iliyopo kwenye mkataba wa kiungo huyo na klabu yake, ambapo (Leipzig) wanataka kulipa mkwanja huo mapeeeemaaa kabla ya Christmas.

Leipzig inatarajia kuzipiku AC Milan na Arsenal katika kinyang’anyiro hicho cha kuwania saini ya kiungo huyo.

banner

Pia, taarifa zinadai kuwa, kiungo huyo atafanya maamuzi baada ya wikiendi hii kuisha.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited