Home Soka Kocha Wa Makambo,Kwasi Atimuliwa

Kocha Wa Makambo,Kwasi Atimuliwa

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Horoya AC ya Guinea imemtangaza Lamine N’diaye raia wa Senegal kuwa kocha Mkuu akichukua nafasi ya mfaransa Didier Gomes da Rosa aliyefurushwa.

N’diaye aliwahi kuvinoa vilabu vya Garoua,Al Hilal Omdurman, Maghreb Fez, TP Mazembe na timu ya taifa ya Senegal.

Wachezaji waliocheza ligi kuu ya Tanzania, Heritier Makambo(Yanga),Enock Atta( Azam),Asante kwasi (Lipuli,Simba) na Tafadzwa Kutinyu(Singida United,Azam),sasa wote wanacheza ligi kuu ya Guinea katika timu hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited