Home Soka Kocha Yanga Kutua Kesho

Kocha Yanga Kutua Kesho

by Dennis Msotwa
0 comments

Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael atawasili kesho Jumatano saa 7:20 mchana tayari kuungana na kikosi kwa ajili ya mwendelezo wa mechi za Ligi na Kombe la FA akitokea nchini Ubeligiji alikokua mapumzikoni baada ya ligi kusimamishwa kufuatia kusambaa kwa maambukizi ya Virusi vya Corona nchini.

Luc anatarajiwa kuwasili kesho saa saba mchana baada ya kuchelewa kupata ndege kufuatia nchi nyingi duniani kufunga mipaka na anga la ndege.

Taarifa za kocha huyo kuwasili nchini zimethibitishwa na klabu ya Yanga kupitia mtandao wa Yanga App ambako mpaka sasa zaidi wananchama 26000 wamejiunga kupata habari za klabu hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited