Home Soka Kocha Z’bar Afungukia Vipigo

Kocha Z’bar Afungukia Vipigo

by Sports Leo
0 comments

Baada ya kutupwa nje ya mashindano ya Cecafa wanawake 2019 Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Queen’s Mohammed Ally salah amesema kuwa kitendo cha kikosi chao kuruhusu magoli 17 katika msimu huu wa Cecafa ni hatua kubwa sana kwao kulinganisha Cecafa iliyo pita ambayo waliruhusu magoli 31

Ameongeza kuwa wanarudi nyumbani kujipanga kuitengeza timu kwa kushirikiana na shirikisho la soka visiwani Zanzibar ZFA katika kuianzisha ligi ya wanawake visiwani humor ili kuijenga Zanzibar Queen’s imara na yenye kuleta ushinda katika mashindano ya Cecafa yajayo

Katika michezo mitatu ya Zanzibar hatua ya nakundi akiwa kundi A mechi ya kwanza alifungwa goli 5 na Burundi huku mechi ya pili wakaifunga Sudani goli 5 na mechi ya tatu wamefungwa na Kilimanjaro Queen’s (Tanzania) goli 7.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited