Kiungo wa zamani wa klabu ya Simba sc James Kotei amezungumzia suala la kurejea katika klabu hiyo siku za karibuni baada ya kuondoka na kuacha pengo klabuni hapo.
Kotei ambaye sasa anacheza soka nchini Beralus baada ya kuachana na klabu ya Kaizer Chief ya nchini Afrika kusini.
Akijibu swali la mwandishi wa chombo cvha habari maarufu nchini alisema kwamba suala la kurudi Simba linawezekana kutokana na mahusiano yake na klabu hiyo.
“Ubora wa Simba hakuna ambaye anaweza kugoma kufanya kazi kutokana na ushirikiano uliopo na ukizingatia kwamba sikugombana na viongozi.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
“Iwapo itatokea kila kitu kimekwenda sawa nitarudi kuvaa jezi ya Simba kazi yangu ni mchezaji sichagui kambi,” amesema.