Home Soka Lamine Moro Arejea

Lamine Moro Arejea

by Sports Leo
0 comments

Beki tegemeo wa klabu ya Yanga sc Lamine Moro leo ataingia uwanjani kuivaa Kagera Sugar baada ya kumaliza adhabu ya kufungiwa mechi tatu pamoja na faini ya Shilingi laki tano ambazo alipewa baada ya kumpiga teke kiungo wa Jkt Tanzania Mwinyi Kazimoto.

Beki huyo katika kutekeleza adhabu hiyo alizikosa mechi za ligi kuu dhidi ya Azam fc,Namungo pamoja na Ndanda fc hivyo leo yuko huru kutumika baada ya kumaliza adhabu hizo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited