Beki tegemeo wa klabu ya Yanga sc Lamine Moro leo ataingia uwanjani kuivaa Kagera Sugar baada ya kumaliza adhabu ya kufungiwa mechi tatu pamoja na faini ya Shilingi laki tano ambazo alipewa baada ya kumpiga teke kiungo wa Jkt Tanzania Mwinyi Kazimoto.
Beki huyo katika kutekeleza adhabu hiyo alizikosa mechi za ligi kuu dhidi ya Azam fc,Namungo pamoja na Ndanda fc hivyo leo yuko huru kutumika baada ya kumaliza adhabu hizo.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.