Home Soka Lwandamina,Azam Fc Mambo Fresh

Lwandamina,Azam Fc Mambo Fresh

by Sports Leo
0 comments

Kocha wa zamani wa klabu ya Yanga sc na Zesco United George Lwandamina tayari yupo nchini akiendelea na mazungumzo ya kujiunga na klabu ya Azam Fc yenye makao yake Chamazi jijini Dar es salaam.

Kocha huyo alitua nchini jana na kupokelewa na Mtendaji mkuu wa klabu hiyo Abdulkarim Amin “Popat” kwa ajili ya kuanza mazungumzo ya kujiunga na klabu hiyo.

Taarifa za awali zinadai tayari makubaliano yamefikiwa kwa asilimia kubwa huku vikiwa vimebaki vitu vichache dili hilo kukamilika.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited