Kocha wa zamani wa klabu ya Yanga sc na Zesco United George Lwandamina tayari yupo nchini akiendelea na mazungumzo ya kujiunga na klabu ya Azam Fc yenye makao yake Chamazi jijini Dar es salaam.
Kocha huyo alitua nchini jana na kupokelewa na Mtendaji mkuu wa klabu hiyo Abdulkarim Amin “Popat” kwa ajili ya kuanza mazungumzo ya kujiunga na klabu hiyo.
Taarifa za awali zinadai tayari makubaliano yamefikiwa kwa asilimia kubwa huku vikiwa vimebaki vitu vichache dili hilo kukamilika.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.