Home Soka Maguli Atua Fc Platnum

Maguli Atua Fc Platnum

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa kitanzania Elias Maguli amejiunga na FC Platinum ya Zimbabwe kwa kandarasi ya miaka 2 kuvunja mkataba na klabu yake ya awali ya Nakambala Leopard ya Zambia.

Staa huyo aliyewahi kuzichezea timu za Stand United,Ruvu Shooting,Simba,Prisons na Kmc za hapa nchini ametambulishwa rasmi ndani ya timu hiyo baada ya kukamilisha uhamisho huo.

Pia Maguli amewahi kuzichezea timu ya Dhofar iliyopo katika ligi kuu nchini Oman kabla ya kutimka na kurudi nchini.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited