Home Soka Makapu Amlilia Eymael

Makapu Amlilia Eymael

by Sports Leo
0 comments

Baada ya Kocha, Luc Eymael kutimuliwa Yanga, kiungo wa timu hiyo, Juma Makapu ameibuka na kupost picha akiwa na kocha huyo kupitia status yake pale WhatsApp na kuandika “Narudi kuleee kwenye benchi usiondoke faza”

Kumbuka Eymael ndiye aliyezuia Makapu kuondoka Yanga baada ya uongozi kutaka kumtoa kwa mkopo lakini yeye alimuita mazoezini na kweli akafanya vizuri kisha akabakizwa kikosini, na alianza mechi zote za derby na kufanya vizuri.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited