Home Soka Manula Kumrithi Onyango

Manula Kumrithi Onyango

by Sports Leo
0 comments

Kipa Aishi Manula wa Simba sc anatajwa kujiunga na klabu ya Mamelod Sundowns kuchukua nafasi ya Dennis Onyango anayekaribia kustaafu soka baada ya hivi karibuni kustaafu kuchezea timu ya taifa ya Uganda.

Manula ameonyesha kiwango bora hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa barani Afrika hivyo wasauzi hao kuvutiwa nae na kuangalia uwezekano wa kumsajili kipa huyo.

Inasemekena Mamelod imeandaa kiasi cha zaidi ya milioni 500 kumnasa kipa huyo na tayari wameshaulizia upatikanaji wake kwa Simba sc.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited