Home Soka Manungu,Mabatini Vyapigwa Kufuri

Manungu,Mabatini Vyapigwa Kufuri

by Sports Leo
0 comments

Bodi ya ligi kuu ya Tanzania bara (TPLB) imevifungia viwanja vya Mwadui complex,Manungu na Mabitini kutumika katika mechi za ligi  kuu mpaka hapo vitakapofanyiwa ukarabati na kuthibitishwa na bodi hiyo kuwa vinafaa kutumika.

Akizungumza na waandishi wa habari afisa mtendaji mkuu wa bodi hiyo Michael Wambura amesema viwanja hivyo havirithishi kutumika katika michezo ya ligi kuu kutokana na kukosa ubora unaotakiwa yakiwemo majakwaa ya mashabiki.

Uwanja wa mabatini unatumiwa na klabu ya Jkt Tanzania kama uwanja wa nyumbani huku ule wa Manungu unatumiwa na Mtibwa Sugar na ule wa Mwadui Complex ulioko shinyanga unatumiwa na timu ya Mwadui Fc.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited