Home Soka Mastaa Watano Al-Ahly

Mastaa Watano Al-Ahly

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Al ahly inatarajiwa kuwakosa nyota wake watano kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa baani Afrika dhidi ya Simba scv siku ya jumatano katika mchezo utakaofanyika uwanja wa mkapa jijini Dar es salaam.

Mastaa hao wakutegemewa katika kikosi hicho wataukosa mchezo huo kutokana na sababu mbalimbali kama vile majeruhi na kadi za njano ambazo mfululizo wake umepelekea kukosa baadhi ya michezo.

Mastaa watakaokosa mchezo huo ni:

banner

↪️ Taher Mohamed Taher
↪️ Mohsen Salah
↪️Ayman Ashraf
↪️Ali Mâaloul
↪️ Walid Soliman

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited