Kiungo Luis Miqquisone ameendelea kuonyesha ubora wake baada ya jana kufunga mabao mawili katika ushindi wa Simba sc dhidi ya Kmc ligi kuu Tanzania bara.
Kiungo huyo aliyesajili kutoka Ud Songo alipokua kwa mkopo alifunga mabao hayo dakika za 70 na 72 na kumfanya jumla afikishe mabao matatu katika michezo minne aliyoitumikia timu hiyo.
Ushindi huo unaifanya Simba ifikishe jumla ya pointi 64 ikiwa imecheza michezo 25 na kufanikiwa kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi kuu.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.