Home Soka Mjipange,Deo Kanda Anarejea

Mjipange,Deo Kanda Anarejea

by Sports Leo
0 comments

Winga wa klabu ya Simba mkongo Deo Kanda amerejea nchini tayari kuanza kukitimikia kikosi cha wekundu hao baada ya kuwa nje kwa majeraha ya mguu.

Kanda aliyeumia Januari 4 kwenye mechi baina ya watani wa jadi Simba na Yanga alitolewa dakika ya 46 baada ya kufunga bao na kuumia baada ya kufanyiwa faulo na Juma Abdul.

Staa huyo alienda nchini Kongo ili kupata matibabu zaidi huku akiwa na familia yake na sasa amerejea mazoezini akisubiri maamuzi ya kocha kumchezesha.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited