Home Soka Mkude Kurejea Mzigoni Simba sc

Mkude Kurejea Mzigoni Simba sc

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu ya Simba Sc Inataraji Kuanza Mazoezi Rasmi Hi Leo Baada ya Kumalizika kwa michuano ya Simba Super Cup ambayo waliibuka kidedea.

Katika mazoezi hayo ambayo yatafanyika katika viwanja vya mazoezi vya klabu hiyo vya Mo Simba Arena inatarajiwa wachezaji karibuni wote watahudhuria akiwemo Jonas Mkude aliyekua amefungiwa na klabu hiyo kutokana na utovu wa nidhamu.

Meneja wa Klabu ya Simba Abbas Ally Amesema Kuwa “Tunaanza mazoezi leo na tunatarajia Mkude na yeye kuanza mazoezi”

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited