Klabu ya Simba Sc Inataraji Kuanza Mazoezi Rasmi Hi Leo Baada ya Kumalizika kwa michuano ya Simba Super Cup ambayo waliibuka kidedea.
Katika mazoezi hayo ambayo yatafanyika katika viwanja vya mazoezi vya klabu hiyo vya Mo Simba Arena inatarajiwa wachezaji karibuni wote watahudhuria akiwemo Jonas Mkude aliyekua amefungiwa na klabu hiyo kutokana na utovu wa nidhamu.
Meneja wa Klabu ya Simba Abbas Ally Amesema Kuwa “Tunaanza mazoezi leo na tunatarajia Mkude na yeye kuanza mazoezi”
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.