Home Soka Mo salah na Mkataba Liverpool

Mo salah na Mkataba Liverpool

by Dennis Msotwa
0 comments

Mshambuliaji wa Liverpool Mo Salah anasema klabu yake bado haijazungumzia mkataba wake mpya ambao unafika tamati msimu wa 2023.

Mo Salah anasema “hakuna mtu yoyote kutoka Liverpool ambaye amemwendea kwa ajili ya kujadili uwezekano wa kusaini kandarasi mpya klabuni hapo”

Mkataba wa sasa wa Salah huko Liverpool unaendelea hadi msimu wa joto wa 2023 huku akivuta kiasi cha mshahara wa Paundi laki mbili kwa wiki.

banner

Lakini mshambuliaji huyo wa Misri anasema kwa sasa hakuna matarajio ya kuongezwa mkataba mpya baada ya mabosi wake kuuchuna huku Real Madrid,Psg na Juventus wakimtazama kwa matamanio makubwa.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited