Home Soka Morrison Mambo Safi Yanga

Morrison Mambo Safi Yanga

by Sports Leo
0 comments

Mazoezi ya Yanga Sc yameendelea leo katika Uwanja wa shule ya sheria ambapo Bernard Morison ni moja ya wachezaji ambao wamejiunga na timu leo hii baada ya kukosekana kwa siku kadhaa kutokana na majeraha.
Mara baada ya kufika Morison aliwaomba radhi wachezaji wenzake kwa kushindwa kusafiri na timu kisha akaendelea na mazoezi ambapo alionekana kuwa fiti licha ya kutoka majeraha.
Yanga inatarajiwa kuwafuata Azam fc mchezo wa ligi kuu Tanzania bara ambao utaamua hatma ya nafasi ya pili baada ya uhakika wa Simba sc kuwa katika nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa. 

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited