Home Soka Morrison,Ninja Watinga Mazoezi Yanga

Morrison,Ninja Watinga Mazoezi Yanga

by Dennis Msotwa
0 comments

Mshambuliaji Benard Morrisson leo amajiunga na wachezaji wnzake katika mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika katika uwanja wa sheria jijini Dar es salaam.

Mchezaji huyo ambaye hivi karibuni ameingia katika mgogoro na timu hiyo kufuatana na kukana kuwa na mkataba akisisitiza kuwa mkataba wake aliousaini ni wa miezi sita ambayo utaisha julai mwaka huu.

Pia beki wa zamani wa klabu hiyo Abdalah Shaibu “Ninja” pia alikuwepo uwanjani hapo akifanya mazoezi na kikosi hicho.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited