Home Soka Msikieni Mbappe

Msikieni Mbappe

by Dennis Msotwa
0 comments

Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Ufaransa na klabu ya PSG Kylian Mbape amesema wachezaji wa timu ya Taifa hawapaswi kulipwa mishahara badala yake fedha hizo zitumike kwaajili ya maendeleo ya wananchi.
“Wachezaji hawapaswi kulipwa kwa kupigani timu zao za taifa. Fedha hizo zinaweza kutumiwa vizuri kwa ajili ya maendeleo ya raia wao kwa kutambua uaminifu na mchango wao kama wachezaji.” Alisema Mbape

 

Mbappe amekua na msimu mzuri kipindi hiki akisaidia timu ya Psg kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya klabu bingwa barani ulaya baada ya kuitoa timu ya Barcelona.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited