Home Soka Msudani Atua Biashara Utd

Msudani Atua Biashara Utd

by Sports Leo
0 comments

Timu ya Biashara United ya mkoani Mara imeendelea kuboresha kikosi chake kwa kusajili mchezaji Yassir Khemis Celestino kwa mkataba wa mwaka mmoja ili kusaidia timu hiyo iliyonusurika kushuka daraja katika msimu wa ligi kuu uliopita.

Beki huyo mwenye miaka 25 amesajiliwa akitokea timu ya Katori Fc inayoshiriki ligi kuu nchini Sudan na amefanikiwa kufunga mabao 5 katika ligi hiyo msimu uliopita.

Celestino pia ni mchezaji wa timu  ya taifa ya nchi hiyo akiwa amefanikiwa kucheza jumla ya michezo sita katika michuano mbalimbali.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited