Home Soka Msuva Ajifunga Morroco

Msuva Ajifunga Morroco

by Dennis Msotwa
0 comments

Winga wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva ameongeza mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia klabu ya Difaa El Jadida inayoshiriki Ligi Kuu ya Morocco ‘Botola Liague’.

Mkataba wa awli aliousaini staa huyo akitokea klabu ya Yanga ulikua unafika tamati mwaka huu hivyo kutokana na kuongeza mwingine wa mwaka mmoja sasa atasalia klabuni hapo mpaka mwakani.

Msuva kwa sasa thamani yake imeporomoka kutoka euro 700,000 (Sh bilioni 1.5) katika viwango vilivyotoka Desemba, mwaka jana na Mtandao wa Transfermakt hadi kufikia euro 550,000 (Sh bilioni 1) katika viwango vilivyotoka Aprili 8, mwaka huu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited