Winga wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva ameongeza mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia klabu ya Difaa El Jadida inayoshiriki Ligi Kuu ya Morocco ‘Botola Liague’.
Mkataba wa awli aliousaini staa huyo akitokea klabu ya Yanga ulikua unafika tamati mwaka huu hivyo kutokana na kuongeza mwingine wa mwaka mmoja sasa atasalia klabuni hapo mpaka mwakani.
Msuva kwa sasa thamani yake imeporomoka kutoka euro 700,000 (Sh bilioni 1.5) katika viwango vilivyotoka Desemba, mwaka jana na Mtandao wa Transfermakt hadi kufikia euro 550,000 (Sh bilioni 1) katika viwango vilivyotoka Aprili 8, mwaka huu.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.