Msuva Aikacha Yanga Sc,Atua Uarabuni
Mshambuliaji wa Kimataifa kutoka Tanzania Simon Msuva amekataa kurudi nyumbani kujiunga na klabu ya Yanga na kuamua kujiunga na klabu ya Al Najmah inayoshiriki Ligi Daraja la kwanza Saudi Arabia. Kipindi cha dirisha dogo la usajili kulikuwa na tetesi za nyota huyo aliyewahi kutamba akiwa na Yanga anaweza akarejea kwenye timu hiyo mabingwa watetezi wa…
