Home Soka Msuva Kuchezeshwa na VAR

Msuva Kuchezeshwa na VAR

by Dennis Msotwa
0 comments

Ligi kuu nchini Morocco Botola pro itakuwa ligi ya kwanza barani Afrika kuanza kutumia Teknolojia ya VAR kwenye mchezo wa ligi hiyo ambayo kesho itaendelea katika Round ya Pili.

Taarifa kutoka Morocco zinasema kuwa Teknolojia hiyo ya VAR itafungwa na kutumika katika viwanja vyote nchini Morocco ambavyo ligi kuu inachezwa.

Simon Msuva mtanzania anayeichezea klabu ya Diffaa El-Jadid ni mmoja ya wachezaji watakaochezeshwa na VAR,mwamuzi ambae watu wengi wamekua wakilalamika kufuatia kuwa na maamuzi ya utata hasa katika sheria ya kuotea.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited