Home Soka Mtunisia Kuja Yanga sc

Mtunisia Kuja Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Inaelezwa kuwa Noureddine Al-Nabi aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya El-Merreikh kabla ya kuondoshwa, amefanikiwa kuwa Mkuu wa Klabu ya Yanga ya Dar es Salaam walio Mabingwa wa Kihistoria wa Nchi.
Mabosi wa Yanga hawaridhishwi na kiwango ambacho timu yao imekuwa ikikionyesha hata baada ya Kaze kuondoka.
Taarifa za ndani zinasema Mabosi na kocha wameshakubaliana kilakitu na Nabi atawasili na msaidizi wake hivyo kibarua cha Juma Mwambusi kiko matatani.
Huenda akatambulishwa kabla ya mechi dhidi ya Azam ya Jumapili tarehe 25.04.2021.
Endapo kocha huyu atafanikiwa kuanza kazi kwa Yanga atakuwa ni kocha wa nne msimu kuwafundisha mabingwa hao wa kihistoria.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited