Home Soka Mukoko,Kisinda Wageuka Lulu

Mukoko,Kisinda Wageuka Lulu

by Dennis Msotwa
0 comments

Wakala wa wachezaji Tonombe Mukoko na Tuisila Kisinda, Nestroy Mukwale, amethibitisha kwamba amepokea jumla ya ofa tano zinazowahitaji nyota hao wanaoitumikia klabu ya Yanga.
Akiongea na baadhi ya vyombo vya habari hapa nchini Mukwale amesema kati ya ofa hizo tatu zinahitaji huduma ya Mukoko na mbili Tuisila. Amesema ni suala la Yanga tu kuamua kufanya biashara au kubaki nao.

 

Wachezaji hao wamekua na mchango mkubwa kwa Yanga sc msimu huu kiasi cha kuwavutia mawakala mbalimbali duniani huku ikionekana dhahiri klabu hiyo inahitaji kuendelea nao.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited