Home Soka Mwambusi Ajiuzuru Mbeya City

Mwambusi Ajiuzuru Mbeya City

by Dennis Msotwa
0 comments

Kocha wa timu ya Mbeya city Juma Mwambusi amewasilisha barua ya kujiuzuru kazi ya kuifundisha timu hiyo baada ya kuwa na mwenendo usioridhisha.

Mwambusi aliyewahi kuifundisha timu hiyo kwa mafanikio kabla ya kuondoka na kujiunga na Yanga kisha Azam akiwa kocha msaidizi wa Hans van Pluijm kabla ya kuondoka na kurudi Mbeya city.

Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya, James Kasusura imeeleza kuwa Kocha Mwambusi aliwasilisha barua ya kuomba kujiuzulu mnamo tarehe 26/11/2019 kwa maslahi mapana ya timu hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited