Kiungo sukari wa klabu ya Manchester United Bruno Fernandes ameibuka mchezaji bora wa mwezi juni kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuwa na msimu mzuri klabuni hapo.
Bruno aliyechangia jumla ya mabao 13 klabuni hapo msimu huu ametwaa tuzo hiyo baada ya kufanya vizuri tangu ligi irejee kutoka katika janga la Corona mwezi uliopita ambapo amefanikiwa kufunga mabao matatu kwa mwezi juni.
Bruno anakuwa mchezaji wa pili wa klabu ya Manchester United kushinda tuzo hiyo mfululizo tangu aliposhinda Cristiano Ronaldo mwaka 2006.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.