Home Soka “Nimeimarika Zaidi”-Lukaku

“Nimeimarika Zaidi”-Lukaku

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa Inter Milan Romelu Lukaku, amesema kuwa kwasasa ameimarika zaidi tangu alipo hamia Inter Milan kutoka Manchester United.

Akizungumza na mshambuliaji wa zamani wa Arsenal Thierry Henry kupitia Instagram Live, Lukaku alisema, anafanya kazi yake kwabidii kuhakikisha kuwa anakuwa bora zaidi.

Lukaku ambaye aliuzwa na united kwa takribani pauni Milioni 73 alimwambia Henry”Unapoimarika sio tu juu yako mwenyewe, kufunga magoli ndio dawa yangu, kitu ambacho kipo ndani ya moyo wangu. Lakini bado naendelea kujifunza. Nadhani nataka kuisaidia timu yangu, natakiwa kuwa nauwezo wa kutoa msaada huo.”

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited